You are currently viewing Vera Sidika afunguka kubeba ujauzito mwingine

Vera Sidika afunguka kubeba ujauzito mwingine

Mrembo maarufu nchini Kenya, Vera Sidika amevunja kimya kuhusu madai kuwa ni mjamzito kwa mara ya pili.

Wanamitandao wamekuwa wakidai kuwa mama huyo ni mjamzito kwani amekuwa akificha tumbo lake kila anapoenda.

“Mbona muamini hayo? hii ilikuwa mwaka jana nilipokuwa na mimba ya Asia na nilificha nikiwa nimevalia nguo hii, dah! watu wanaweza kueneza uvumi,” aliandika Vera Sidika Instagram.

Uvumi huo unachukua nafasi baada ya Vera kuweka wazi kuwa amepanga kumpeleka mtoto wake, Asia Brown shuleni ifikapo Januari 2023.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke