You are currently viewing WHATSAPP YAONGEZA IDADI YA WATUMIAJI HADI MILLIONI 60

WHATSAPP YAONGEZA IDADI YA WATUMIAJI HADI MILLIONI 60

WhatsApp imepata kibali cha kuongeza watumiaji Milioni 40 katika service yake ya WhatsApp Pay nchini India. 

Hapo awali, WhatsApp ilikuwa na kibali cha kuwa na watumiaji Milioni 20 hivyo kwa sasa ina limit ya watumiaji Milioni 60.

Bado WhatsApp Pay ipo katika sehemu ya majaribio nchini Brazil na India. Ni sehemu ya mfumo ambao utawezesha watumiaji kutuma na kupokea fedha katika app ya WhatsApp. 

Pia watumiaji watakuwa na uhuru wa kulipa bidhaa na kutumia katika WhatsApp Business.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke