You are currently viewing WINIE NWAGI AKIRI KUPATA MSONGO WA MAWAZO KISA MASHABIKI

WINIE NWAGI AKIRI KUPATA MSONGO WA MAWAZO KISA MASHABIKI

Winnie Nwagi ni moja kati ya wasanii nchini Uganda wasiotaka masihara  kutokana kwa mashabiki wanaomkosoa kwenye  mitandaoni ya kijamii.

Katika mahojiano yake hivi karibuni Winnie Nwagi amefichua kwamba alipatwa na msongo wa mawazo kutokana na matusi ya mashabiki mtandaoni.

Hitmaker huyo wa malaika amesema alikuwa analia kila mara anaposoma comment za mashabiki wanaotukana kwenye mitandao ya kijamii lakini alilazimika kupambana wanaomkatisha tamaa mtandaoni kwa kuwa block wanaomuandikia jumbe za matusi dhidi yake.

Elim Robert

Robert Elim is an Editor with high interest and knowledge in the entertainment space, an industry he has been actively part of since childhood. Leads to breaking stories are welcome at elimrobert@gmail.com & contact@urbanspice.co.ke